Skip to main content
DL Bookstore
  • Home
  • Get books
  • Author services
  • Courses
  • Blog
  • Support
  • All books
  • Offers
  • Swahili books
    • Dini
    • Fasihi
    • Maendeleo binafsi
    • Malezi
    • Ndoa na mahusiano
    • Uchumi na biashara
    • Uongozi na usimamizi
    • Vitabu vya kiada
  • English books
    • Business and finance
    • Literature
    • Parenting and relationships
    • Personal development
    • Religion and spirituality
    • Textbooks
  • Children's books
  • Online courses
  • Free books
  • Get books
  • Swahili books
  • Maendeleo binafsi
  • Kutoka kuandika mpaka kuuza kitabu

Kutoka kuandika mpaka kuuza kitabu

★★★★★ (1)
TZS 9,999

Paperback eBook
Add to cart  

Ilikuwa ni kiu yangu ya muda mrefu kuandika kitabu kimoja ambacho mtu akikisoma atakuwa amepata vitu muhimu sana na vya msingi kwenye uandishi wa vitabu kuanzia hatua ya kuandika mpaka kuuza kitabu.

Kwenye kitabu hiki nimeshughulika na mambo matatu;

  1. Ufahamu wa mbinu za kukusaidia kuandika, kutoa na kuuza kitabu chako. Uandikaje kitabu? Mchakato wa kutoa kitabu ukoje? Kitabu kinafikaje kwa wasomaji na unakiuzaje?. Unapokisoma kitabu hiki, utapata utajiri wa mbinu za kukusaidia kwenye maeneo yote haya
  2. Ufahamu wa makosa ya kuepuka. Huwezi kuepuka kosa usilolijua, hivyo nimeanza kwa kukuonesha makosa yenyewe ili uweze kuyaepuka.Kuyaepuka makosa haya itakusaidia kuufurahia uandishi wa vitabu kwa kuyachuma mafanikio yake.
  3. Kutatua makosa ambayo waandishi huwa wanakwama kupata utatuzi wake. Makosa haya hujitokeza kuanzia hatua ya kuandika mpaka kuuza kitabu. Kusoma kitabu hiki kutakupa kujua jinsi ya kutatua makosa hayo.

Huishii tu kusoma kitabu. Upo huru kabisa kupata usaidizi kutoka kwangu, unapoendelea kusoma kitabu na ukaona kukwama kwenye jambo fulani, wewe nitumie meseji au nipigie, tutazungumza!

Upo tayari kuanza safari nzito ya kusoma sura sita zilizoshiba? Haya anza!


Recommended for you

Uandishi wa kitabu kinachouzika
Uandishi wa kitabu kinachouzika
TZS 9,999
View options
Naandikaje kitabu?
Naandikaje kitabu?
TZS 4,999 TZS 3,999
View options
Mbinu rahisi za kuandika kitabu
Mbinu rahisi za kuandika kitabu
TZS 3,999
View options
Kitabu unachoandika lazima kiwe na sifa hizi
Kitabu unachoandika lazima kiwe na sifa hizi
TZS 15,000
View options
Siri 30 za kuwa mwandishi bora wa vitabu
Siri 30 za kuwa mwandishi bora wa vitabu
TZS 15,000
View options

Customer reviews

★★★★★ 1 review

★★★★★
MARTIN T., 13 Jan, 2024

Nimejifunza mengi kwenye kitabu hiki hasa aina za waandishi , taratibu za uchapaji wa kitabu, aina za uhandishi na kujua ukiandika kurasa ngapi za A4 utakuwa tayari umeandika kitabu chako hivyo Namshukuru Mwandishi wa Kitabu hiki kuna vitu vingi sana ambavyo nimejifunza toka kwenye uandishi wa kitabu hiki.

Cart

Cart is empty.

  • Home
  • Get books
  • About us
  • Author services
  • Blog
  • Support
  • Client portal
DL Bookstore © 2025. All rights reserved.