Msaada wa Mungu katika Masomo
Kitabu cha “Msaada wa Mungu katika Masomo” kinaeleza namna Mungu anaweza kukusaidia kufaulu katika masomo yako kwa kupitia Roho wake, Utajifunza namna ya kushinda uvivu, namna ya kusoma kwa kulingana na uwezo wa akili yako, namna ya kujiandaa na mitihani, namna ya kujibu mtihani, namna ya kuweka malengo na kujua muunganiko wa kusudi la maisha yako na masomo yako.
Kupitia kitabu hiki utapata mwanga zaidi kusoma si kwa ajili ya kuajiri tu ila utajua umuhimu wa kupata elimu kwa ajili ya maisha yako ya kila siku.
Recommended for you

Chochea Kipaji Chako