Skip to main content
DL Bookstore
  • Home
  • Get books
  • Author services
  • Courses
  • Blog
  • Support
  • All books
  • Offers
  • Swahili books
    • Dini
    • Fasihi
    • Maendeleo binafsi
    • Malezi
    • Ndoa na mahusiano
    • Uchumi na biashara
    • Uongozi na usimamizi
    • Vitabu vya kiada
  • English books
    • Business and finance
    • Literature
    • Parenting and relationships
    • Personal development
    • Religion and spirituality
    • Textbooks
  • Children's books
  • Online courses
  • Free books
  • Get books
  • Swahili books
  • Maendeleo binafsi
  • Usikate Tamaa, Lipo Tumaini

Usikate Tamaa, Lipo Tumaini

TZS 7,000
Add to cart  

"Matumaini ni Imani ya kwamba, pamoja na mambo yote kuwa mabaya bado yanaweza kugeuka na kuwa mazuri."

Hakuna ubishi kwamba maisha yamejaa changamoto nyingi za kutufanya tujikute tunapoteza matumaini tuliy- okuwa nayo na kukata tamaa. Haijalishi unapitia nini au hali yako ikoje, Ni marufuku kukata tamaa.Unaruhusiwa kupiga Mayowe, Unaruhusiwa Kulia, Lakini Hauruhusiwi kabisa Kukata Tamaa.

Katika Maisha yaliyojaa misukosuko ya kila aina. Matumaini yana Nguvu ya kutugeuza kutoka kuwa wahanga na kuwa washindi katika maisha.

Kitabu hiki kimeandikwa ili kuwapa watu matumaini katika nyakati za kupotezakwao matumaini, kuvunjika moyo na kukata taama kwaajili ya mambo magumu wanayopitiana kukabiliana nayo

"Siri ya maisha ni kuhakikisha wakati wote mwali wa matumaini unaendelea kuwaka bila kuzima."


Recommended for you

Ushindi katika hali ngumu
Ushindi katika hali ngumu
TZS 7,000 TZS 6,500
Add to cart

Cart

Cart is empty.

Log in




Forgot password?
Create account
Login to existing account
My orders
My reviews
My details
Log out
  • Home
  • Get books
  • About us
  • Author services
  • Blog
  • Support
  • Client portal
DL Bookstore © 2018 - 2025. All rights reserved.