Skip to main content
DL Bookstore
  • Home
  • Books
  • Publish
  • Sell
  • Courses
  • Blog
  • Support
  • All books
  • Discounts
  • Swahili books
    • Dini
    • Fasihi
    • Maendeleo binafsi
    • Malezi
    • Ndoa na mahusiano
    • Uchumi na biashara
    • Uongozi na usimamizi
    • Vitabu vya kiada
  • English books
    • Business and finance
    • Literature
    • Parenting and relationships
    • Personal development
    • Religion and spirituality
    • Textbooks
  • Children's books
  • Online courses
  • Free books
  • Books
  • Swahili books
  • Uongozi na usimamizi
  • Kiongozi wa Kiroho

Kiongozi wa Kiroho

  3,000.00 TZS
Add to cart  

KIONGOZI WA KIROHO ni kitabu ambacho kimeelezea mambo ishirini [20] ambayo kiongozi wa kiroho anatakiwa kuwa nayo ili aweze kuwaongoza watu sawasawa na mapenzi ya Mungu.

Ipo tofauti kubwa sana ya kiongozi wa kiroho na kiongozi wa kisiasa. Kiongozi wa kiroho anamwamkilisha Mungu kwa watu anaowaongoza. Hivyo ni lazima awe karibu na Mungu ili aweze kupokea maelekezo ya namna ya kuwaongoza watu.

Kiongozi huyu wa kiroho anatakiwa kuwa na tunu za kimungu ili awafikishe watu kwenye nchi ya ahadi. Nje ya hapo, kiongozi huyu anaweza kuwapeleka watu mahali ambapo si mpango wa Mungu.

Neno la Mungu linasema, “Waacheni; hao ni viongozi vipofu wa vipofu. Na kipofu akimwongoza kipofu mwenzake watatumbukia shimoni wotw wawili.” [Mathayo 15:14]

Kumbe kiongozi akiwa kipofu ana nafasi kubwa sana ya kuwapeleka wengine shimoni. Kiongozi wa kiroho anapaswa kuwa mwaminifu, mwenye kupokea ushauri wa watu wengine, mwenye maono, mnyenyekevu, ambaye yupo tayari kuacha alama itakayokumbukwa na awe tayari kuwaunganisha watu anaowaongoza na Mungu wao. Asiwe mwenye kutafuta maslahi yake binafsi.


Others Also Bought

Ijue Elimu ya Uongozi
Ijue Elimu ya Uongozi
5,000.00 TZS
From Youth to Old Age: A love journey of forever endurance
From Youth to Old Age: A love journey of forever endurance
10,000.00 TZS
Kiongozi Mtumishi
Kiongozi Mtumishi
7,500.00 TZS
Nguvu ya Kujifunza kupitia Semina na Mafunzo mbalimbali
Nguvu ya Kujifunza kupitia Semina na Mafunzo mbalimbali
2,000.00 TZS

Cart

Cart is empty.

  • Home
  • Books
  • About us
  • Publish
  • Sell
  • Blog
  • Support
DL Bookstore © 2026. All rights reserved.