Skip to main content
DL Bookstore
  • Home
  • Get books
  • Author services
  • Courses
  • Blog
  • Support
  • All books
  • Offers
  • Swahili books
    • Dini
    • Fasihi
    • Maendeleo binafsi
    • Malezi
    • Ndoa na mahusiano
    • Uchumi na biashara
    • Uongozi na usimamizi
    • Vitabu vya kiada
  • English books
    • Business and finance
    • Literature
    • Parenting and relationships
    • Personal development
    • Religion and spirituality
    • Textbooks
  • Children's books
  • Online courses
  • Free books
  • Get books
  • Swahili books
  • Uongozi na usimamizi
  • Uadilifu wa Kiongozi

Uadilifu wa Kiongozi

TZS 7,500

Paperback eBook
Add to cart  

Tatizo kubwa sana tulilonalo leo sio kukosekana kwa viongozi, bali kukosekana kwa viongozi waadilifu.Hili ni tatizo kubwa ndani ya Kanisa na nje ya kanisa. Leo ni adimu sana kuwapata Viongozi waaminifu. Viongozi wanaoweza kuaminika na kutegemewa, ambao wapo vilevile, wasiobadilika.

Katika kitabu hiki utapata fursa ya kujifunza kwa mapana sana kuhusu uadilifu ambao ni jambo la muhimu sana katika uongozi. Utajifunza Uadilifu ni nini, Tabia ya uadilifu kwa kiongozi, Maisha ya uadilifu kwa kiongozi, Uadilifu katika masuala ya fedha, Uadilifu katika ngono, Faida za kuishi maisha ya uadilifu, na Jinsi ya kuwa na maisha ya uadilifu.


Recommended for you

Ijue Elimu ya Uongozi
Ijue Elimu ya Uongozi
TZS 5,000
View options
Kiongozi Mtumishi
Kiongozi Mtumishi
TZS 7,500
View options
Kuanguka kwa Kiongozi
Kuanguka kwa Kiongozi
TZS 7,500
View options

Cart

Cart is empty.

  • Home
  • Get books
  • About us
  • Author services
  • Blog
  • Support
  • Client portal
DL Bookstore © 2025. All rights reserved.