Skip to main content
DL Bookstore
  • Home
  • Books
  • Publish
  • Sell
  • Courses
  • Blog
  • Support
  • All books
  • Discounts
  • Swahili books
    • Dini
    • Fasihi
    • Maendeleo binafsi
    • Malezi
    • Ndoa na mahusiano
    • Uchumi na biashara
    • Uongozi na usimamizi
    • Vitabu vya kiada
  • English books
    • Business and finance
    • Literature
    • Parenting and relationships
    • Personal development
    • Religion and spirituality
    • Textbooks
  • Children's books
  • Online courses
  • Free books
  • Books
  • Swahili books
  • Uongozi na usimamizi
  • Uadilifu wa Kiongozi

Uadilifu wa Kiongozi

  7,500 TZS
Add to cart  

Tatizo kubwa sana tulilonalo leo sio kukosekana kwa viongozi, bali kukosekana kwa viongozi waadilifu.Hili ni tatizo kubwa ndani ya Kanisa na nje ya kanisa. Leo ni adimu sana kuwapata Viongozi waaminifu. Viongozi wanaoweza kuaminika na kutegemewa, ambao wapo vilevile, wasiobadilika.

Katika kitabu hiki utapata fursa ya kujifunza kwa mapana sana kuhusu uadilifu ambao ni jambo la muhimu sana katika uongozi. Utajifunza Uadilifu ni nini, Tabia ya uadilifu kwa kiongozi, Maisha ya uadilifu kwa kiongozi, Uadilifu katika masuala ya fedha, Uadilifu katika ngono, Faida za kuishi maisha ya uadilifu, na Jinsi ya kuwa na maisha ya uadilifu.


Others Also Bought

Ijue Elimu ya Uongozi
Ijue Elimu ya Uongozi
5,000 TZS
Kiongozi Mtumishi
Kiongozi Mtumishi
7,500 TZS
Kuanguka kwa Kiongozi
Kuanguka kwa Kiongozi
7,500 TZS

Cart

Cart is empty.

  • Home
  • Books
  • About us
  • Publish
  • Sell
  • Blog
  • Support
DL Bookstore © 2026. All rights reserved. | login