Skip to main content
DL Bookstore
  • Home
  • Get books
  • Author services
  • Courses
  • Blog
  • Support
  • All books
  • Offers
  • Swahili books
    • Dini
    • Fasihi
    • Maendeleo binafsi
    • Malezi
    • Ndoa na mahusiano
    • Uchumi na biashara
    • Uongozi na usimamizi
    • Vitabu vya kiada
  • English books
    • Business and finance
    • Literature
    • Parenting and relationships
    • Personal development
    • Religion and spirituality
    • Textbooks
  • Children's books
  • Online courses
  • Free books
  • Get books
  • Swahili books
  • Dini
  • Furahini katika Bwana Siku Zote.

Furahini katika Bwana Siku Zote.

TZS 2,999
Add to cart  

Huu ni ujumbe wa muhimu Kwa kila mtu anayekosa furaha kwenye maisha yake au anayekosa changamko la moyo kulingana na mambo mbalimbali yanayoumiza hapa duniani. Kulingana kwamba kila mtu  huhitaji kufurahi,  kumeibuka sasa wachekeshaji wengi, maigizo ya kuchekesha.

Wengine furaha yao ni uwepo wa watoto , wazazi, mchumba, mwalimu, mchungaji au timu yake ya mpira ikipata ushindi ndiyo siri ya furaha yake. Làkini ukweli ni kwamba furaha inayotegemea watu, vitu au matukio ya nje ya kila siku haina utoshelevu kwenye maisha. Mungu anatamani wakati wote tuwe na furaha haijalishi matukio au watu wanasemaje.

Kwa sababu furaha ni mojawapo ya tunda la Roho Mtakatifu ambalo kila mwana wa Mungu anapaswa kulidhihirisha haijalishi hali ya maisha au watu wasemavyo. Hivyo, kitabu hiki ni mwito wa kipekee kwa kila mtu kuamua sasa kuanza kuishi maisha yenye furaha wakati wote. Kupitia kitabu hiki utajifunza siri nyingi kuhusu kufurahi katika Bwana siku zote.

Machache kati ya mengi yaliyo ndani ya kitabu hiki ni pamoja na ngazi kuu tatu za maisha yenye furaha, utofauti wa furaha katika Bwana na furaha ya nje, ujenzi wa furaha ya kweli katika Bwana siku zote, ukweli kuhusu maisha ya kufurahi kila siku na faida zake.

AMUA SASA KUISHI MAISHA YENYE FURAHA KILA SIKU.


Recommended for you

Mitandao ya kijamii ilivyoiba furaha ya wengi
Mitandao ya kijamii ilivyoiba furaha ya wengi
TZS 6,999
Add to cart
Tanuri la Furaha
Tanuri la Furaha
TZS 8,999
Add to cart
Kanuni za kufurahia wokovu
Kanuni za kufurahia wokovu
TZS 7,000
View options
Kwanini Baraka za Wokovu Hauzipokei Maishani Mwako
Kwanini Baraka za Wokovu Hauzipokei Maishani Mwako
TZS 3,000
Add to cart
Yaishi Maisha Katika Wokovu
Yaishi Maisha Katika Wokovu
TZS 5,000
View options

Cart

Cart is empty.

Log in




Forgot password?
Create account
Login to existing account
My orders
My reviews
My details
Log out
  • Home
  • Get books
  • About us
  • Author services
  • Blog
  • Support
  • Client portal
DL Bookstore © 2018 - 2025. All rights reserved.