Skip to main content
DL Bookstore
  • Home
  • Get books
  • Author services
  • Courses
  • Blog
  • Support
  • All books
  • Offers
  • Swahili books
    • Dini
    • Fasihi
    • Maendeleo binafsi
    • Malezi
    • Ndoa na mahusiano
    • Uchumi na biashara
    • Uongozi na usimamizi
    • Vitabu vya kiada
  • English books
    • Business and finance
    • Literature
    • Parenting and relationships
    • Personal development
    • Religion and spirituality
    • Textbooks
  • Children's books
  • Online courses
  • Free books
  • Get books
  • Swahili books
  • Dini
  • Ijue Nguvu ya Kufunga na Kuomba

Ijue Nguvu ya Kufunga na Kuomba

TZS 2,000

Hardcopy Softcopy
Add to cart  

Wanafunzi wa Yesu waliletewa mgonjwa mwenye kifafa ili wamponye lakini wao walishindwa. Yesu alipopata habari za kushindwa kwao kumponya mgonjwa alisikitika na kisha akamponya mgonjwa.

Wanafunzi hao walipokuwa pamoja na Yesu walimwuliza, "Mbona sisi tulishindwa kumtoa pepo?" Yesu akawaambia kwa namna hii haitoki ila kwa kufunga na kuomba.Rejea Mathayo 17:21

Tunahitaji sana maombi ya kufunga na kuomba katika nyakati hizi za sasa. Kufunga na kuomba hutupa kibali mbele za Mungu na kusikia maombi yetu. Kufunga kiroho ni tofauti na kufanya mazoezi ya kupunguza mwili. Kufunga kiroho huambatana na kuwajali wahitaji, kujinyima chakula, kusoma Neno la Mungu, kufanya ibada na kujinyenyekesha mbele za Mungu. Ukisoma Biblia watumishi wengi walifunga na walipata matokeo makubwa. Ndani ya kitabu hiki utajifunza mambo mengi juu ya kufunga na kuomba.


Recommended for you

Maarifa juu ya maombi unayotakiwa kuomba
Maarifa juu ya maombi unayotakiwa kuomba
TZS 5,000
View options
Jifunze kudumu katika maombi
Jifunze kudumu katika maombi
TZS 7,000
View options
Maombi Yaletato Mpenyo
Maombi Yaletato Mpenyo
TZS 10,000
View options
Nguvu ya Maombi ya Toba
Nguvu ya Maombi ya Toba
TZS 6,000
View options

Cart

Cart is empty.

  • Home
  • Get books
  • About us
  • Author services
  • Blog
  • Support
  • Client portal
DL Bookstore © 2025. All rights reserved.