Mambo Muhimu kwa Mwalimu wa Biblia Unapoandaa Somo
Kabla ya kusimama na kufundisha somo lako mbele ya watu kuna maandilizi nyuma ya pazia ambayo ni lazima kuyafanya.
Ubora wako katika kufundisha somo lako ukiwa madhabahuni huchagizwa na yale maandalizi yako mazuri utayafanya. Kati ya hayo maandalizi muhimu kuyafanya ni kuandika ujumbe wako na kuupangilia vema.
Others Also Bought
 
                                                                                            
                                                Ifahamu Biblia Vizuri
                                            
                                        
                                                                                    
                                                                                                                                                        TZS 10,000
                                                                                            
                                                                             
                                                                                            
                                                Mafundisho awali ya Neno la Mungu
                                            
                                        
                                                                                    
                                                                                                                                                        TZS 7,000
                                                                                            
                                                                            