Mambo Muhimu kwa Mwalimu wa Biblia Unapoandaa Somo
Kabla ya kusimama na kufundisha somo lako mbele ya watu kuna maandilizi nyuma ya pazia ambayo ni lazima kuyafanya.
Ubora wako katika kufundisha somo lako ukiwa madhabahuni huchagizwa na yale maandalizi yako mazuri utayafanya. Kati ya hayo maandalizi muhimu kuyafanya ni kuandika ujumbe wako na kuupangilia vema.
Others Also Bought

Hitimu kabla ya kuanza chuo
TZS 10,000

Siri ya Kusamehe na Kuachilia
TZS 6,000

Majeraha na Maumivu ya Kihisia
TZS 7,000

Kwako binti ambaye bado hujaolewa
Not available