Skip to main content
DL Bookstore
  • Home
  • Get books
  • Author services
  • Courses
  • Blog
  • Support
  • All books
  • Offers
  • Swahili books
    • Dini
    • Fasihi
    • Maendeleo binafsi
    • Malezi
    • Ndoa na mahusiano
    • Uchumi na biashara
    • Uongozi na usimamizi
    • Vitabu vya kiada
  • English books
    • Business and finance
    • Literature
    • Parenting and relationships
    • Personal development
    • Religion and spirituality
    • Textbooks
  • Children's books
  • Online courses
  • Free books
  • Get books
  • Swahili books
  • Dini
  • Maombi ya Kushinda vita ya Kiroho

Maombi ya Kushinda vita ya Kiroho

TZS 7,000

Hardcopy Softcopy
Add to cart  

Biblia inatuonesha kuwa maisha ni ya kiroho zaidi kuliko yalivyo ya kimwili, kwa sababu wakuu wawili wanaotawala maisha haya, yaani Mungu na shetani, sio wa mwilini bali ni wa rohoni.

Utawala wa Mungu katika maisha ya mtu utakuwa wenye nguvu zaidi, ikiwa mtu huyo atakuwa amejenga mahusiano bora na Mungu katika ulimwengu wa roho kwa njia ya maombi na imani.

Utawala wa shetani kwenye maisha ya mtu utakuwa wenye nguvu zaidi, ikiwa mtu huyo atakuwa ameshindwa kumdhibiti shetani ipasavyo katika ulimwengu wa roho kwa njia ya maombi ya imani.

Maombi yaliyopo kwenye kitabu hiki, yamevuviwa na Roho wa Mungu, ukiyaomba kwa Imani, utamdhibiti shetani ipasavyo, hivyo ushindi wako katika vita ya kiroho ni uhakika (Yakobo.4:7), hivyo matatizo yote ambayo chanzo chake ni adui yataifikia ukomo.


Cart

Cart is empty.

  • Home
  • Get books
  • About us
  • Author services
  • Blog
  • Support
  • Client portal
DL Bookstore © 2025. All rights reserved.