Skip to main content
DL Bookstore
  • Home
  • Books
  • Publish
  • Sell
  • Courses
  • Blog
  • Support
  • All books
  • Discounts
  • Swahili books
    • Dini
    • Fasihi
    • Maendeleo binafsi
    • Malezi
    • Ndoa na mahusiano
    • Uchumi na biashara
    • Uongozi na usimamizi
    • Vitabu vya kiada
  • English books
    • Business and finance
    • Literature
    • Parenting and relationships
    • Personal development
    • Religion and spirituality
    • Textbooks
  • Children's books
  • Online courses
  • Free books
  • Books
  • Swahili books
  • Dini
  • Mwongozo wa mafundisho yote ya msingi katika Ukristo

Mwongozo wa mafundisho yote ya msingi katika Ukristo

  TZS 20,000
Add to cart  

Mwongozo wa mafundisho yote ya msingi katika Ukristo ni kitabu cha kipekee kabisa, msaada kwa wanafunzi wa theolojia vyuoni kwa sababu kimebeba kiini cha ufahamu unaokusudiwa kwa mwanafunzi wa Biblia baada ya kuhitimu kozi nyingi chuoni. Ni kitabu kilicho sheheni ufahamu mpana unaoelezwa kwa lugha nyepesi inayoweza kueleweka kwa kila mwanafunzi wa Biblia. Kitabu hiki kinafaa kwa kila mkristo bila kujali kiwango chake cha ukomavu au uchanga wa kiroho. 

Ni kitabu cha kipekee sana cha kulisaidia kanisa kuzishinda imani mbalimbali za uongo kwa kutumia maandiko. Ni kitabu cha kuwasaidia wachungaji na waalimu makanisani kufundishia mafundisho ya kweli kwa kina sana kwa sababu mafundisho yote ya msingi katika imani ya ukristo yamechambuliwa kwa mtiririko mzuri na kufafanuliwa kwa kina.   


Others Also Bought

Mafundisho awali ya Neno la Mungu
Mafundisho awali ya Neno la Mungu
TZS 7,000
Add to cart
Ifahamu Biblia Vizuri
Ifahamu Biblia Vizuri
TZS 10,000
Add to cart
Mambo Muhimu kwa Mwalimu wa Biblia Unapoandaa Somo
Mambo Muhimu kwa Mwalimu wa Biblia Unapoandaa Somo
TZS 5,000 TZS 4,500
Add to cart

Cart

Cart is empty.

  • Home
  • Books
  • About us
  • Publish
  • Sell
  • Blog
  • Support
DL Bookstore © 2025. All rights reserved.