Skip to main content
DL Bookstore
  • Home
  • Books
  • Publish
  • Sell
  • Courses
  • Blog
  • Support
  • All books
  • Discounts
  • Swahili books
    • Dini
    • Fasihi
    • Maendeleo binafsi
    • Malezi
    • Ndoa na mahusiano
    • Uchumi na biashara
    • Uongozi na usimamizi
    • Vitabu vya kiada
  • English books
    • Business and finance
    • Literature
    • Parenting and relationships
    • Personal development
    • Religion and spirituality
    • Textbooks
  • Children's books
  • Online courses
  • Free books
  • Books
  • Swahili books
  • Dini
  • Shangwe bethlehemu ya uyahudi

Shangwe bethlehemu ya uyahudi

  10,000 TZS
Add to cart  

Shangwe Bethlehem ya Uyahudi ni kitabu kinachohusu historia ya Bwana Yesu.

Kulingana na mwandishi wa kitabu cha Mathayo katika Biblia, vizazi vyote tangu Ibrahimu hata Daudi ni vizazi kumi na vinne; na tangu Daudi hata ule uhamisho wa Babeli ni vizazi kumi na vinne; na tangu ule uhamisho wa Babeli hata Kristo ni vizazi kumi na vinne.

Kitabu kimeelezea kwa kirefu kwanini Yesu alizaliwa katika katika mji wa Bethlehem hususani kabila la Yuda. Pia ndani ya kitabu hiki mwandishi ametafsiri maana ya Zawadi tatu zilizotolewa na Mamajusi kwa mtoto Yesu, Yaani Dhahabu, Uvumba na Manemane


Others Also Bought

HILI NI NENO LA KUFAA KWAKO - Siku 21 za kukua, kujijenga na kujiimarisha kiroho
HILI NI NENO LA KUFAA KWAKO - Siku 21 za kukua, kujijenga na kujiimarisha kiroho
15,000 TZS
Ushauri wa Afya ya Akili
Ushauri wa Afya ya Akili
7,500 TZS
Shule ndani ya kusudi
Shule ndani ya kusudi
5,000 TZS
Fungate
Fungate
10,000 TZS

Cart

Cart is empty.

  • Home
  • Books
  • About us
  • Publish
  • Sell
  • Blog
  • Support
DL Bookstore © 2026. All rights reserved. | login