Thoughts and Ways (Mawazo na Njia)
Mawazo na njia, ni maneno ambayo yametamkwa mara nyingi kwenye biblia na baadhi ya nyakati yakitoka kwenye kinywa cha Mungu mwenyewe. Mara kadhaa Mungu amekuwa akiwakumbusha watu wake kuhusu kuchukua tahadhari juu ya mawazo na njia zao.
Swali la msingi kujiuliza ni kwa nini Mungu asimamie sana katika eneo hilo? Ni kitu gani cha kukitilia mkazo katika mawazo na njia? Je, kuna uhusiano gani katika vitu hivi viwili kama anavyouliza Mungu mwenyewe katika kitabu cha Isaya 55:8-9, “Maana, Mwenyezi-Mungu asema hivi:
“Mawazo yangu si kama mawazo yenu, wala njia zangu si kama njia zenu. Kama vile mbingu zilivyo mbali na dunia, ndivyo njia zangu zilivyo mbali na zenu, na mawazo yangu mbali na mawazo yenu.”
Others Also Bought

Utumishi Unaotimiza Mapenzi ya Mungu

Yesu Akawafundisha, Akisema Heri
TZS 12,000