Skip to main content
DL Bookstore
  • Home
  • Get books
  • Author services
  • Courses
  • Blog
  • Support
  • All books
  • Offers
  • Swahili books
    • Dini
    • Fasihi
    • Maendeleo binafsi
    • Malezi
    • Ndoa na mahusiano
    • Uchumi na biashara
    • Uongozi na usimamizi
    • Vitabu vya kiada
  • English books
    • Business and finance
    • Literature
    • Parenting and relationships
    • Personal development
    • Religion and spirituality
    • Textbooks
  • Children's books
  • Online courses
  • Free books
  • Get books
  • Swahili books
  • Fasihi
  • Ndoa Yangu

Ndoa Yangu

TZS 5,000

Hardcopy Softcopy
Add to cart  

NDOA yangu ni simulizi ya kusisimua inayochanganya mapenzi, wivu, usaliti pamoja na ukandamizaji. Maurini anaingia kwenye ndoa iliyojaa usaliti ambapo mume wake Lameck alikuwa akimsaliti na wanawake tofauti tofauti. Vilevile katika simulizi hii tunaona jinsi mwanadada Maurini alivyopitia nyakati ngumu za ukandamizaji na kuishia kuwa mama wa nyumbani kutokana na wivu wa mume wake.

Kupitia simulizi hii iliyojaa visa mbalimbali, Maurini anafanikiwa kushinda vikwazo vyote kutokana na uvumilivu aliokuwa nao kwenye ndoa yake, kitendo kilicho mfanya mume wake aamue kubadilika na kuwa mume bora.

Hadithi hii imebeba mafunzo kwa jamii hasa kwa wenye ndoa kwani inatufunza tuwe wavumilivu na tusiwe wepesi wa kuvunja ndoa zetu kirahisi


Recommended for you

Subira Itakutuza (Mashairi aina ya tenzi)
Subira Itakutuza (Mashairi aina ya tenzi)
TZS 4,000
View options
Safari yenye Dhoruba
Safari yenye Dhoruba
TZS 5,000
View options
Nitaiambia nini familia yangu
Nitaiambia nini familia yangu
TZS 10,000
View options
Jipu ndani ya ubongo - Simulizi ya kweli
Jipu ndani ya ubongo - Simulizi ya kweli
TZS 15,000
View options

Cart

Cart is empty.

  • Home
  • Get books
  • About us
  • Author services
  • Blog
  • Support
  • Client portal
DL Bookstore © 2025. All rights reserved.