Skip to main content
DL Bookstore
  • Home
  • Get books
  • Author services
  • Courses
  • Blog
  • Support
  • All books
  • Offers
  • Swahili books
    • Dini
    • Fasihi
    • Maendeleo binafsi
    • Malezi
    • Ndoa na mahusiano
    • Uchumi na biashara
    • Uongozi na usimamizi
    • Vitabu vya kiada
  • English books
    • Business and finance
    • Literature
    • Parenting and relationships
    • Personal development
    • Religion and spirituality
    • Textbooks
  • Children's books
  • Online courses
  • Free books
  • Get books
  • Swahili books
  • Fasihi
  • Sentafowadi

Sentafowadi

TZS 20,000

Hardcopy Softcopy
Add to cart  

Mwanana Chake Mutwa ni mwandishi wa habari kwenye gazeti la NIA, lililo na makao makuu kisiwani Zanzibar. Wadhifa na mkataba wa kazi unampa upeo wa kupachikwa jina la ‘Sentafowadi’. Mwanana hana budi kuishi maisha sambamba na maudhui ya wimbo wa taifa, “Mungu ibariki Afrika” kwani huripoti matukio ya kizalendo kila pande za Afrika.

Bi. Maimuna ni daktari wa moyo katika hospitali ya Muhimbili ambapo amegundua ugonjwa wa UMCUM (Ukosefu wa Maelezo kwenye chembe unaoshinikiza moyo). Ugonjwa wa UMCUM unaoambukiza unasambaa kila kukicha huku kusababisha watu kupooza na hatimaye kutupa mikono. Bi. Maimuna anamdokeza Mwanana na kumtahadhalisha kwani mkurugenzi wake bwana Fwedha ni ndumilakuwili na tajiri anaebania tiba ya UMCUM kwani anatumia kwa manufaa yake.

Je Maimuna na Mwanana watafaulu kusaidia jamii huku namna ya kuepuka na bwana Fwedha ni mtihani usio na kifani? Je kwa awamu hii jamii itajifunza nini na majanga kama UMCUM yanayo shinikiza mwili?


Recommended for you

Fungate
Fungate
TZS 10,000
View options
Sikitiko
Sikitiko
TZS 10,000
View options
Jinamizi
Jinamizi
TZS 10,000
View options
Ndoa Yangu
Ndoa Yangu
TZS 5,000
View options

Cart

Cart is empty.

  • Home
  • Get books
  • About us
  • Author services
  • Blog
  • Support
  • Client portal
DL Bookstore © 2025. All rights reserved.