Aleji ya Chakula na Kutostahimili Chakula
Kumekuwa na ongezeko la miitikio hasi ya chakula, mara nyingi miitikio hii imekuwa ikiitwa ‘aleji’, lakini si kila mwitikio hasi ni aleji.
Kitabu hiki kinaeleza kwa kutumia lugha rahisi, maana ya kila aina, utofauti uliopo kati ya kila aina husika, njia za kuweza kujikinga na vyakula mbadala kwa vyakula vinavyoweza kuchochea kutokea kwa changamoto hizo na mwisho ni namna miitikio hasi ya chakula hutibiwa.
Others Also Bought
Nguvu ya Pasaka katika Kushinda Vita ya Kiroho
10,000.00 TZS
Luna - The rose from the ancient city
Kuja kwa Yesu Mara ya Pili
10,000.00 TZS
Kuishi kama Mchwa: Njia ya Mkato ya Kufanikiwa
7,000.00 TZS