Skip to main content
DL Bookstore
  • Home
  • Books
  • Publish
  • Sell
  • Courses
  • Blog
  • Support
  • Login
  • All books
  • Discounts
  • Swahili books
    • Dini
    • Fasihi
    • Maendeleo binafsi
    • Malezi
    • Ndoa na mahusiano
    • Uchumi na biashara
    • Uongozi na usimamizi
    • Vitabu vya kiada
  • English books
    • Business and finance
    • Literature
    • Parenting and relationships
    • Personal development
    • Religion and spirituality
    • Textbooks
  • Children's books
  • Online courses
  • Free books
  • Books
  • Swahili books
  • Maendeleo binafsi
  • FUNGUO 12 ZA MAFANIKIO

FUNGUO 12 ZA MAFANIKIO

  5,000.00 TZS
Add to cart  

Ni kitabu kinachofungua macho ya msomaji kuelewa kwamba mafanikio si bahati Bali ni matokeo ya mtazamo, maarifa, nidhamu, maamuzi na uthubutu wa kuchukua hatua.

Kupitia FUNGUO 12 muhimu, Noha Lesilwa anachambua kwa kina namna familia, elimu, ajira, kipato, historia, mazingira, umri, na changamoto mbalimbali zinavyoweza kuwa DARAJA AU KIKWAZO cha mafanikio ya mtu

Kwa mtindo wa kisaikolojia, kifalsafa na kifasihi kitabu hiki kinamfanya msomaji ajitafakari upya, kuvunja minyororo ya hofu, na kuona uwezo mkubwa uliopo ndani yake, kupitia simulizi halisi, mifano ya maisha, tafakuri, na mafundisho yenye nguvu, msomaji atajifunza namna ya kubadilisha changamoto kuwa nguvu ya kusonga mbele.

Hiki si kitabu cha hamasa ya muda mfupi pekee, bali ni mwongozo wa kumsaidia mtu kuamsha fikira zake, kujenga maisha makubwa, na kuanza safari ya mafanikio yenye maana ya kweli.

Kama umewahi kuhisi kama umechelewa, umekwama, au mazingira yako hayawezi kukuruhusu kufanikiwa - Basi kitabu hiki kimeandikwa kwa ajili yako


Others Also Bought

Mafanikio Ni Haki Yako
Mafanikio Ni Haki Yako
4,999.00 TZS
Kanuni 101: Mwongozo wa Mafanikio Katika Maisha
Kanuni 101: Mwongozo wa Mafanikio Katika Maisha
10,000.00 TZS
Hujachelewa kufanikiwa
Hujachelewa kufanikiwa
10,000.00 TZS

Cart

Cart is empty.

  • Home
  • Books
  • About us
  • Publish
  • Sell
  • Blog
  • Support
DL Bookstore © 2026. All rights reserved | Made with ❤️ in Tanzania.