Skip to main content
DL Bookstore
  • Home
  • Get books
  • Author services
  • Courses
  • Blog
  • Support
  • All books
  • Offers
  • Swahili books
    • Dini
    • Fasihi
    • Maendeleo binafsi
    • Malezi
    • Ndoa na mahusiano
    • Uchumi na biashara
    • Uongozi na usimamizi
    • Vitabu vya kiada
  • English books
    • Business and finance
    • Literature
    • Parenting and relationships
    • Personal development
    • Religion and spirituality
    • Textbooks
  • Children's books
  • Online courses
  • Free books
  • Get books
  • Swahili books
  • Maendeleo binafsi
  • Mwingine sio wewe

Mwingine sio wewe

TZS 5,000

Paperback eBook
Add to cart  

Wewe ni mtu ambaye Mungu amekuumba kwa kusudi lake na kwa ajili yake japo watu wengi tumejisahau na tumekuwa tukidhani tupo duniani kwa kusudi la kufanya na kutimiza ndoto zetu tu na wengine hatujui tutakwenda wapi na tutafanya nini lakini cha ajabu kabisa ni kwamba wapo wasiojua hata wapo kwa ajili ya nini na kwa kusudi gani? Wapo tu na wanaishi na hawajali chochote kile.

Ukweli ni kwamba tumeumbwa kwa kusudi maalumu na lengo maalamu kila mtu yupo kwa kusudi lake ili alitimize yeye kama yeye na kila mtu analo kusudi lake la pekee la yeye kuwapo katika sayari hii ya dunia hata mapacha hawako na kusudi sawa licha ya kwamba wamezaliwa pamoja japo Mungu anaweza kukupa watu wakukufanikishia jambo lako hiyo haina maana wao hawana kusudi ndani yao la hasha wengine kusudi lao laweza kuwa ni kuhakikisha wengine wanafanikiwa kupitia wao, na wengine kusudi lao laweza kuwa ni kuajiri, wengine kuwa wanamichezo wakubwa, wengine kuwa wataalamu wa picha za mnato,wengine kuwa viongozi wa wenzao n.k


Recommended for you

Mtu wa tofauti
Mtu wa tofauti
TZS 20,000
View options
Wewe ni nani?
Wewe ni nani?
TZS 5,000
View options

Cart

Cart is empty.

  • Home
  • Get books
  • About us
  • Author services
  • Blog
  • Support
  • Client portal
DL Bookstore © 2025. All rights reserved.