Skip to main content
DL Bookstore
  • Home
  • Get books
  • Author services
  • Courses
  • Blog
  • Support
  • Join us
  • All books
  • Discounts
  • Swahili books
    • Dini
    • Fasihi
    • Maendeleo binafsi
    • Malezi
    • Ndoa na mahusiano
    • Uchumi na biashara
    • Uongozi na usimamizi
    • Vitabu vya kiada
  • English books
    • Business and finance
    • Literature
    • Parenting and relationships
    • Personal development
    • Religion and spirituality
    • Textbooks
  • Children's books
  • Online courses
  • Free books
  • Get books
  • Swahili books
  • Dini
  • Shangwe Bethlehemu ya Uyahudi

Shangwe Bethlehemu ya Uyahudi

TZS 4,999
Add to cart  

Shangwe Bethlehem ya Uyahudi ni kitabu kinachohusu historia ya Bwana Yesu.

Kulingana na mwandishi wa kitabu cha Mathayo katika Biblia, vizazi vyote tangu Ibrahimu hata Daudi ni vizazi kumi na vinne; na tangu Daudi hata ule uhamisho wa Babeli ni vizazi kumi na vinne; na tangu ule uhamisho wa Babeli hata Kristo ni vizazi kumi na vinne.

Kitabu kimeelezea kwa kirefu kwanini Yesu alizaliwa katika katika mji wa Bethlehem hususani kabila la Yuda. Pia ndani ya kitabu hiki mwandishi ametafsiri maana ya Zawadi tatu zilizotolewa na Mamajusi kwa mtoto Yesu, Yaani Dhahabu, Uvumba na Manemane


Others Also Bought

Shangwe bethlehemu ya uyahudi
Shangwe bethlehemu ya uyahudi
TZS 10,000
Add to cart
Ushindi katika hali ngumu
Ushindi katika hali ngumu
TZS 7,000 TZS 6,500
Add to cart
Usiyoyajua kuhusu Samsoni
Usiyoyajua kuhusu Samsoni
TZS 4,999
Add to cart
Utimilifu wa majuma 70 ya unabii wa kitabu cha Danieli na unabii wa siku za mwisho
Utimilifu wa majuma 70 ya unabii wa kitabu cha Danieli na unabii wa siku za mwisho
TZS 7,000
Add to cart
Ifahamu Biblia Vizuri
Ifahamu Biblia Vizuri
TZS 10,000
Add to cart

Cart

Cart is empty.

  • Home
  • Get books
  • About us
  • Author services
  • Blog
  • Support
  • Join us
DL Bookstore © 2025. All rights reserved.