Skip to main content
DL Bookstore
  • Home
  • Books
  • Publish
  • Sell
  • Courses
  • Blog
  • Support
  • All books
  • Discounts
  • Swahili books
    • Dini
    • Fasihi
    • Maendeleo binafsi
    • Malezi
    • Ndoa na mahusiano
    • Uchumi na biashara
    • Uongozi na usimamizi
    • Vitabu vya kiada
  • English books
    • Business and finance
    • Literature
    • Parenting and relationships
    • Personal development
    • Religion and spirituality
    • Textbooks
  • Children's books
  • Online courses
  • Free books
  • Books
  • Swahili books
  • Dini
  • Shangwe Bethlehemu ya Uyahudi

Shangwe Bethlehemu ya Uyahudi

  4,999 TZS
Add to cart  

Shangwe Bethlehem ya Uyahudi ni kitabu kinachohusu historia ya Bwana Yesu.

Kulingana na mwandishi wa kitabu cha Mathayo katika Biblia, vizazi vyote tangu Ibrahimu hata Daudi ni vizazi kumi na vinne; na tangu Daudi hata ule uhamisho wa Babeli ni vizazi kumi na vinne; na tangu ule uhamisho wa Babeli hata Kristo ni vizazi kumi na vinne.

Kitabu kimeelezea kwa kirefu kwanini Yesu alizaliwa katika katika mji wa Bethlehem hususani kabila la Yuda. Pia ndani ya kitabu hiki mwandishi ametafsiri maana ya Zawadi tatu zilizotolewa na Mamajusi kwa mtoto Yesu, Yaani Dhahabu, Uvumba na Manemane


Others Also Bought

Shangwe bethlehemu ya uyahudi
Shangwe bethlehemu ya uyahudi
10,000 TZS
Ushindi katika hali ngumu
Ushindi katika hali ngumu
7,000 TZS 6,500 TZS
Usiyoyajua kuhusu Samsoni
Usiyoyajua kuhusu Samsoni
4,999 TZS
Utimilifu wa majuma 70 ya unabii wa kitabu cha Danieli na unabii wa siku za mwisho
Utimilifu wa majuma 70 ya unabii wa kitabu cha Danieli na unabii wa siku za mwisho
7,000 TZS
Ifahamu Biblia Vizuri
Ifahamu Biblia Vizuri
10,000 TZS

Cart

Cart is empty.

  • Home
  • Books
  • About us
  • Publish
  • Sell
  • Blog
  • Support
DL Bookstore © 2026. All rights reserved. | login