Subira Itakutuza (Mashairi aina ya tenzi)
SUBIRA ITAKUTUZA ni kitabu chenye mkusanyiko wa mashairi ishirini na nane aina ya tenzi yanayoelezea mambo ambayo vijana wanapaswa kuyazingatia katika mahusiano yao ya kimapenzi.
Mashairi haya yatawasaidia vijana kupata matokeo chanya yaliyomo katika mapenzi baada ya kujifunza; athari za kufanya tendo la ndoa kabla ya ndoa, jinsi ya kumtambua mwenzi sahihi, athari za kumchagua mwenzi asiye sahihi, jinsi ya kuishi kwenye uchumba na ndoani.
Others Also Bought
 
                                                                                            
                                                Chura wa Kijeshi
                                            
                                        
                                                                                    
                                                                                                                                                        TZS 5,000
                                                                                            
                                                                             
                                                                                            
                                                Chozi la Mama
                                            
                                        
                                                                                    
                                                                                                                                                        TZS 5,000
                                                                                            
                                                                             
             
                                                                                            